Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Polepole ku-bet suala la CHADEMA kuomba radhi

Jumatano , 5th Aug , 2020

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Hamphrey Polepole amesema kuwa kwa jinsi ambavyo anawajua CHADEMA hawataweza kuwaomba radhi Watanzania, baada ya chama hicho kubadili Beti wa Wimbo wa Taifa na kuufanya kuwa wa chama chao

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Hamphrey Polepole.

Kauli hiyo ameitoa hii leo Agosti 5, 2020, wakati akizungumza na Waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam, na kusema kuwa jambo la CHADEMA kufanya hivyo limemuumiza yeye pamoja na Watanzania kwani hata CCM inazo nyimbo nyingi lakini haijawahi kuubadili Wimbo wa Taifa 

"Wawaombe radhi Watanzania ila mimi najua hawataomba radhi, kama mnabisha tu-bet hapa, ni desturi yao, nimefanya nao chaguzi nyingi wanavunja sheria, juzi wamemsema vibaya kila mtu kwenye nchi hii, chama hiki ni tatizo kubwa " amesema Polepole.

Aidha Polepole ameongeza kuwa, "Hivi karibuni kulikuwa na mkutano wa chama cha upinzani, hili sikutaka kulisema lakini limetuuma kama Watanzania, juzi naona wenzetu wamebadilisha maneno ya wimbo wa Taifa wameweka maneno ya chama chao, najiuliza mbona sisi CCM, tuna nyimbo nzuri lakini tunaheshimu huu mmoja, hatuwezi kuunajisi kwa kuweka mambo binafsi".
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava