Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Polisi Dodoma kutoa matibabu bure

Jumatano , 6th Jul , 2022

Watu zaidi ya elfu 3 wanategemea kupimwa na kupatiwa matibabu katika hospitali ya Jeshi hilo iliyopo mkoani Dodoma kwa kipindi cha siku 3 mfululizo bure ,ikiwa ni vita dhidi ya magonjwa ya kuambukiza na yale yasiyo ya kuambukiza

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi wa Polisi Martin Otieno

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi wa Polisi Martin Otieno amesema ameyabainisha hayo leo Jijini Dodoma mara baada yakukutana na wataalamu wa afya za kibingwa kutoka Hospitali ya Jeshi na wafanyakazi.

Amesema watatoa huduma zote za upimaji bure kwa muda wa siku 3 kuanzia tarehe 29,30 na 31 kwa mwezi wa 7 katika kituo cha Afya Polisi Dodoma, kwakua ni sehemu yakurudisha huduma kwa jamii kama inavyoelekezwa na Serikali ili kuokoa maisha ya watu na kuokoa fedha kwani baadhi ya magonjwa hutumia gharama kubwa kuyatibu ikiwa ni pamoja na magonjwa ya figo, afya ya akili, chanjo ya Uviko 19, utoaji wa damu salama,magonjwa mbalimbali ya binadamu  na wataalamu wa mambo yakijinsia watatoa huduma hiyo.

Huduma zote zitatolewa na wataalamu wa magonjwa ya kibingwa kutoka Hospitali kubwa za Serikali wakiongozwa na mabingwa kutoka Hospitali ya Benjamini Mkapa.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava