Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Polisi Mwanza yatoa neno kuhusu pesa bandia

Jumatano , 5th Dec , 2018

Watu watano wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Mwanza kwa kosa la kukutwa na noti bandia zenye thamani ya shilingi 2,830,000 pamoja na vifaa mbalimbali vya kutengenezea fedha hizo katika mtaa wa kiloleli B kata ya nyasaka wilayani ilemela, kitendo ambacho ni kosa la jinai.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Jonathan Shanna

Akizungumza na waandishi wa habari, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Jonathan Shanna amesema kwa ushirikiano na maafisa wa TANAPA wa wilaya ya Serengeti, pamoja na askari wa mikoa ya kanda ya ziwa ikiwemo Mwanza, kigoma, Shinyanga, Simiyu na Mara waliweza kuwakamata watuhumiwa hao.

Shanna amesema Operesheni maalum ilifanywa na askari wa mikoa hiyo ilichukua takribani masaa 48 na kufanikiwa kuwabaini watuhumiwa hao pamoja na vifaa wanavyotumia kutemgenezea noti bandia

Aidha Kamanda Shana amewatahadharisha wananchi wa Mkoa wa Mwanza kuwa makini na fedha za watuhumiwa hao ambazo tayari zipo kwenye mzunguko.

Jeshi la polisi linaendendelea na mahojiano na watuhumiwa hao watano na uchunguzi utakapokamilika watafikishwa mahakamani ili kujibu tuhuma zinazowakabili, huku msako wa kuwatafuta watuhumiwa wengine waliotoroka bado unaendelea katika maeneo yote ya jiji la Mwanza na mikoa ya jirani.

HABARI ZAIDI

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari

Picha ya Diddy na Cassie enzi za mahusiano yake

Diddy aomba msamaha kumshambulia EX wake Cassie

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu