Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Polisi Pwani wamsaka anayeuza nyama za wizi 

Alhamisi , 13th Mei , 2021

Jeshi la Polisi mkoani Pwani, linamsaka mfanyabiashara wa nyama ambaye jina lake limehifadhiwa kwa tuhuma za kuchinja mifugo ya wizi na kuuza kwenye mabucha yake kitu ambacho amesema si salama kwa walaji.

Kamanda wa Polisi mkoa wa Pwani Wankyo Nyigesa

Akizungumza na waandishi wa habari Kamanda wa Polisi mkoa wa Pwani Wankyo Nyigesa, amesema kuwa jeshi hilo lilipokea taarifa za kupotea kwa mifugo ambayo ni ng'ombe 25 na mbuzi 31, mali ya Rajabu Maulid, yenye thamani ya zaidi ya shilingi milion 50 hali iliyopelekea jeshi lake kuanza msako wa kuwatafuta wahusika wa tukio hilo.

Aidha, Kamanda Nyigesa amesema msako wa Polisi umebaini mabucha saba katika maeneo ya picha ya Ndege, Kwamatiasi, Loliondo, Kilivya Kwakomba na bucha zote hizo zinadaiwa kumilikiwa na mfanyabiashara huyo.

Kamanda Nyigesa ameongeza kuwa vitu vilivyokamatwa katika msako huo ni kilo 235 za nyama iliyokamatwa na kuteketezwa na wataalamu wa Idara ya mifugo, pamoa na ng'ombe wanne mali ya Rajabu Maulid ambao aliwatambua huku vitu vingine vilivyokamatwa ni ngozi za ng' ombe nane na mbuzi 24 ambapo zote ni mali za Rajabu.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine