Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Polisi yakamata vijana 14 leo

Jumatatu , 18th Sep , 2017

Jeshi la Polisi nchini Uganda limewakamata vijana 14 wa kundi la 'Jobless Brotherhood' kwa tuhuma za kufanya maandamano kupinga marekebisho ya katiba kuhusu ukomo wa urais.

Tukio hilo limetokea leo mchana katika mji mkuu wa nchi hiyo Kampala, ambapo vijana waliokamatwa wamepelekwa katika kituo kikuu cha polisi, wamefanya maandamano hayo huku wakisambaza vipeperushi vyenye ujumbe wa kupinga kitendo hicho na kuita 'watu wabinafsi'.

Akizungumza na waandishi wa habari Mbunge wa nchini humo Muhhamad Nsereko ambaye ni miongoni mwa watu wanaopinga suala hilo, amesema vijana hao wamechukuliwa kwa ajili ya mahojiano hapo kesho, na wataendelea kufanya hivyo kwa manufaa ya taifa lao.

“Katiba haitabadilishwa, haturudi nyuma kwa hili licha ya kukamatwa, wanatutaka tuwe wazalendo na kuitetea nchi yetu, tusiogopeshwe , tuendelee na safari kuijenga nchi yetu”, amesema Nsereko.

Wabunge nchini Uganda wameanza kujadili mchakato wa kubadilisha katiba itakayomruhusu Rais Yoweri Museveni kubakia madarakani kwa muda mrefu zaidi, kitendo ambacho kimeonekana kupingwa vikali na baadhi ya wananchi

 

 

Source

NTV Uganda

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava