Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Polisi yazungumzia radi iliyoua watoto 6 Geita

Alhamisi , 18th Oct , 2018

Siku moja baada ya kuripotiwa kwa tukio la kufa kwa wanafunzi wa watatu katika shule ya msingi ya Emaco iliyopo Mkoani Geita, Jeshi la Polisi mkoani humo limesema tukio hilo halikuwa na uhusiano wowote na imani za kishirikina bali ni kutokana na majanga ya asili.

Pichani mfano wa radi.

Akizungumza na www.eatv.tv Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoani humo, Daniel Shila amesema jeshi hilo lilikamilisha uchunguzi wa tukio hilo ndani ya saa 24 na kufanikiwa kuikabidhi miili ya marehemu kwa ndugu zao kwaajili ya mazishi.

“Tumefanya uchunguzi wa watoto 6 ndani ya siku moja, ni tukio la janga la asili sio kwamba limetokana na mtu. Hakuna mtu anayetengeneza radi, mambo ya kitaalamu yameshafanyika na jana hiyohiyo tumeishakabidhi kwa ndugu kwa ajili ya mazishi.”amesema Daniel  Shila.

Awali, Mkurugenzi wa Shule hiyo, Cosmas Kibela alizungumzia juu ya tukio hilo kuhusishwa na imani za kishirikina kwa baadhi ya wakazi wa maeneo hayo ambapo amesema “watu wanaweza kuwa na imani hizo lakini kwa imani yangu siamini kama linahusika na imani za kishirikina, na wala sitaki kujiingiza zaidi kwenye mitazamo ya watu.”

Miezi miwili iliyopita shule hiyo iliingia kwenye kashfa juu kuwepo kwa mwanafunzi ambaye alitajwa kutaka kuwadhuru  wanafunzi wenzake kupitia sumu, kashfa ambayo ili kanushwa vikali na Mkurugenzi huyo.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA