Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Postamsta Mkuu atoa mtazamo jamii ya kidijitali

Alhamisi , 21st Oct , 2021

Postamasta Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania Macrice Mbodo amesema ni wakati sasa wa kujenga jamii ya kidijitali kwa kuhakikisha huduma mbalimbali za kiserikali zinapatika kwa pamoja kupitia dirisha la huduma za pamoja.

Postamasta Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania Macrice Mbodo

Mbodo ameyasema hayo leo wakati akitoa mchango wake kwenye Kongamano la Tano la Mkutano Mkuu wa TEHAMA 2021, ambapo amesema kwa kufanya hivyo itarahisisha huduma zote kuwa pamoja hata kama ni kuzipata mtandaoni.

''Ili kujenga jamii ya kidijitali kwa upande wa serikali ni muhimu sasa kuhakikisha tunakuwa na huduma za pamoja kwenye dirisha moja ili mwananchi aweze kufanya malipo ya huduma mbalimbali sehemu moja, kodi zote, Uhamiaji, Polisi, Elimu na huduma nyingine,'' ameeleza Macrice Mbodo, Postamasta Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania. 

Washiriki mbalimbali wakifuatilia wachangia mada

Kwa upande mwingine Mbodo amesema, ''Dirisha lenye huduma za pamoja litasaidia kuondoa changamoto iliyopo sasa ambayo humlazimu mwananchi kutafuta huduma au kufanya malipo ya serikali kwenye madirisha tofauti tofauti, inatakiwa akifika sehemu moja anamaliza mahitaji yake yote ya kiserikali,''.

Mkutano Mkuu wa TEHAMA 2021 unaendelea katika ukumbi wa Simba ndani ya Kituo Cha Mikutano Cha Kimataifa Arusha na leo ni siku ya pili na utamalizika kesho Ijumaa Oktoba 21, 2021 kwa kutolewa tuzo za ICT Awards 2021.
 

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90