Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Raila aweka mapumziko

Jumanne , 17th Oct , 2017

Muungano wa Upinzani nchini Kenya NASA umeahirisha maandamano yake dhidi ya tume ya uchaguzi nchini humo IEBC huku kukiwa na madai ya maafisa wa polisi kutumia nguvu zaidi dhidi ya waandamanaji ikiwa ni pamoja na kuua raia wasio na hatia.

Kiongozi wa upinzani nchini humo Bw. Raila Odinga amesema hatua hiyo imeafikiwa kufuatia vifo vya baadhi ya wafuasi wake ambao alidai walipigwa risasi na polisi na kuongeza kwamba muungano huo utatoa mwelekeo wake baada ya siku ya Mashujaa itakayofanyika Ijumaa .

Katika taarifa hiyo ya Odinga inadaiwa kumlaumu Waziri wa Usalama Fred Matiangi na Inspekta jenerali wa polisi Joseph Boinet akiwashutumu kwa kuwaagiza maafisa wa polisi kuua raia wasio na hatia.

"Kwa heshima ya wale waliouawa na serikali, maandamano yetu yataahirishwa. Siku ya Ijumaa tutawakumbuka raia wasio na hatia kama mashujaa kwa harakati dhidi ya haki ya uchaguzi katika eneo ambalo tutalitaja baadaye. Siku hiyo tutatangaza hatua tutakayochukua'', alisema kiongozi huyo wa upinzani.

Nasa, imesema inawataka maafisa wa polisi kusitisha mauaji hayo ambayo wamedai kuwa ni gharama kubwa kwa taifa.

''Serikali lazima isitishe ushirikiano wa maafisa wa polisi na majambazi mbali na ukiukaji wa kikatiba wa kuwapeleka polisi kuwakabili wafuasi wa NASA'', alisema.

Mapema leo Jumanne , Mahakama kuu ilisitisha kwa muda katazo la serikali dhidi ya maandamano ya IEBC katikati mwa miji ya Nairobi, Mombasa na Kisumu.
.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu