Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rais awaonya askari wanaosumbua wabunge upinzani

Jumatatu , 20th Mei , 2019

Polisi waliomkamata mbunge wa upinzani nchini Uganda, Bobi Wine, wameshtakiwa katika Mahakama ya Kijeshi wakikabiliwa na mashtaka ya kutumia nguvu kupita kiasi.

Askari wakimkamata Bobi Wine

Rais wa nchi hiyo, Yoweri Museveni amesema hakubaliani na nguvu ambayo Polisi wametumia kumkamata Bobi wine, kwani walitakiwa kutumia njia nyingine na si nguvu kama walizozitumia.

Maafisa wa polisi waliharibu gari la mbunge huyo wakati alipotiwa nguvuni, Aprili 22, 2019, ambapo sasa watakabiliwa na mashtaka katika Mahakama ya nidhamu ya polisi kwa matumizi ya nguvu kupita kiasi, kwa mujibu wa Msemaji wa polisi wa nchi.

Maafisa wa kikosi cha polisi cha kupambana na ghasia (FFU) walivunja madirisha ya gari la Mbunge huyo wa jimbo la Kyadondo Mashariki kwenye barabara ya Busabala alipokuwa akielekea kwenye eneo la 'One Love Beach' kufanya tamasha la muziki wake aliloliita 'Kyarenga Extra' ambalo baadae lilizuiwa na maafisa wa usalama.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali