Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rais Kikwete aagana na mabalozi wa Tanzania

Jumanne , 26th Mei , 2015

Rais Jakaya Mrisho Kikwete leo amewaaga rasmi mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania nje ya nchi katika mkutano wa siku nne ulioanza leo jijini DSM.

Katika salam zake Rais Kikwete amewataka wawakilishi hao wa nchi kuhakikisha kuwa wanaendeleza diplomasia nzuri ya kimataifa iliyojijengea Tanzania ambayo mara zote imehakikisha kuwa inakuwa na maadui wachache na marafiki wengi.

Rais Kikwete amewataka mabalozi hao kuacha kukaa maofisini na badala yake watumie fursa waliyopewa kutafuta fursa zitakazosaidia nchi kuendelea kiuchumi.

Kwa mujibu wa rais Kikwete, Tanzania imefanikiwa kujijengea heshima kimataifa, heshima ambayo haiendani na uwezo wa nchi kiuchumi na hivyo kuna haja ya mabalozi hao kubadili mtazamo wa namna wanavyofanya kazi kwa kuhakikisha sifa hizo zinaendana na uwezo kiuchumi pamoja na masuala ya ulinzi.

Mkutano huo pia unalenga kuangalia fursa za diplomasia ya kimataifa katika kufikia malengo ya dira ya maendeleo ya taifa ya mwaka 2025;

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine