Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rais Magufuli akumbuka bakora za Nyerere

Jumatatu , 14th Oct , 2019

Rais wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, amesema moja ya vitu ambavyo Mwalimu Nyerere alikuwa akivikemea ni suala rushwa na kueleza alihakikisha watuhumiwa wa rushwa, walikuwa wakichalazwa bakora 12 wakati wa kuingia jela, na kupigwa bakora 12 wakati wa kutoka jela.

Rais Magufuli ametoa kauli hiyo mkoani Lindi, wakati akihutubia kwenye kilele cha Mbio za Mwenge nchini, iliyoendana sambamba na kumbukumbu ya miaka 20 ya kifo cha Mwalimu Nyerere.

"Wote mnakumbuka Mwalimu Nyerere alikuwa hapendi rushwa, na yeyote ambaye alijihusisha na vitendo vya rushwa alipigwa bakora kabla ya kutoka na baada ya kutoka jela, kupitia hotuba zake nadhani mnajua hili."amesema Rais Magufuli

"Naikabidhi hii ripoti kwa TAKUKURU ukaikague, uiangalie wale wanaotakiwa kupelekwa mahakamani na wale ambao unaona huwawezi niletee ripoti zao, nataka Tanzania inyooke." amesema Rais Magufuli

Aidha Rais Magufuli amesema Serikali yake imemkumbuka kwa kutekeleza masuala mbalimbali ikiwemo kujenga viwanda, kutoa elimu bure.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava