Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rais Magufuli apongezwa

Jumatatu , 21st Aug , 2017

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli leo amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa shirika la kimataifa la JICA Bw. Shinichi Kitaoka Ikulu jijini Dar es Salaam ambapo amepongezwa kwa harakati za kupamabana na rushwa.

Katika mazungumzo hayo Bw. Kitaoka amempongeza Rais Dk. Magufuli kwa uongozi mzuri na wa mfano hasa msukumo mkubwa anaoutoa katika maendeleo hususani katika kuifanyaTanzania nchi ya viwanda pamoja na kupambana na vitendo vya rushwa.na kuahidi kuwa JICA itaendelea kuwa mshirika mkubwa wa maendeleo kwa Tanzania.

Bw. Kitaoka ambaye ni mara ya kwanza kuitembelea Tanzania amemuahidi Rais Magufuli kuwa miradi yote ya nyuma na ya sasa inayotekelezwa na Tanzania na JICA itamalizika kwa wakati ikiwemo mradi wa Flyover wa Tazara unaoendelea kujengwa, mradi wa barabara ya Mwenge - Morocco yenye urefu a kilometa 4.3 na mradi wa ujenzi wa daraja la Gerezani.

Kwa upande wake mh Dk. Magufuli amemshukuru Rais huyo wa JICA kwa uamuzi wake wa kuja Tanzania na amemuhakikishia Tanzania inatambua mchango mkubwa ambao Japan inautoa katika maendeleo ya Tanzania kupitia JICA.

Mazungumzo hayo yamehudhuriwa na Balozi wa Japan hapa nchini Masaharu Yoshida, Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Dotto James, Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi Mhandisi Joseph Nyamhanga na Mtendaji Mkuu wa wakala ya barabara nchini Mhandisi Patrick Mfugale.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava