Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rais Magufuli asababisha maandamano Iringa

Jumamosi , 12th Jan , 2019

Wafanyakazi Mkoani Irtinga wamelazimika kufanya maandamano maalum ya kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli juu ya maamuzi yake uamuzi wake kurudisha matumizi ya kanuni za kikokotoo cha zamani.

Rais Dkt John Pombe Magufuli.

Hivi karibuni Rais Magufuli aliagiza kuanza kutumika tena kwa kanuni za zamani kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii kufuatia kuibuka kwa sintofahamu, kwa wafanyakazi wa sekta mbalimbali nchini.

Akizungumza wakati akipokea maandamano hayo Mkuu wa Mkoa Iringa, Ally Hapi amesema, "zawadi pekee ya kumpa Rais Dkt John Pombe Magufuli, ni kuendelea kutoa ushirikiano kwake kwa kumpongeza kwa kazi nzuri, na mimi Mkuu wenu wa Mkoa nasema sitasafiri kwenda nje nitakaa hapa hapa kufanya kazi".

"Nataka kutoa agizo kwa watendaji wote serikalini marufuku kunyanyasa wafanyakazi ama kumtoa mfanyakazi kwa hila, hataondolewa mtumishi popote bila mimi mkuu wa mkoa kujiridhisha, pia sitakubali kuona dokezo la mtu linakaliwa ili kuomba rushwa" ameongeza Hapi

Katika maandamano hayo pia wakuu mbalimbali wa wilaya akiwemo wa Iringa Mjini, Richard Kasesela pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Kilolo Asia Abdallah nao walishiriki ili kumpongeza Rais Magufuli.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto