Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rais Magufuli asababisha Mawaziri 8 kukutana

Alhamisi , 14th Feb , 2019

Mawaziri nane kupitia timu iliyoundwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli kwa ajili ya kushughulikia migogoro ya ardhi hususani katika maeneo ya hifadhi imewasili mkoani Morogoro kwa lengo la kushughulikia migogoro hiyo.

Akizungumza sababu ya ziara hiyo Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Willium Lukuvi amesema kuwa mara baada ya Rais magufuli kuzuia zoezi la kuwaondoa wananchi katika maeneo ya hifadhi hatua mbalimbali zimeanza kuchukuliwa.

Miongoni mwa hatua hizo ni kuundwa ka Kamati ya Mawaziri nane kwaajili ya kushughulikia maswala hayo ikizihusisha Wizara ya Tamisemi, Maliasili na Utalii, Wizara ya Maji na Umwagiliaji, Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Wizara ya Ulinzi pamoja na Wizara ya Ofisi ya Makamu wa Rais mazingira.

Wakiwa katika bwawa la Mindu Mawaziri wamepokea taarifa ya zoezi la kuwaondoa wananchi wanaoishi na kufanya shughuli za kibinadamu ndani ya mita 500 kutoka katika bwawa hilo lililotarajiwa kufanyika mwishoni mwa wiki hii ambapo taarifa hiyo ikamlazimu Waziri lukuvi kusitisha zoezi.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto