Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rais Magufuli ashangaa Waziri wake kudharauliwa

Jumapili , 6th Oct , 2019

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, ameonesha kushangazwa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa George Kyando, kutotekeleza maagizo yaliyotolewa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi Kangi Lugola, ambaye aliagiza kuhamishwa kwa Maaskari 9, katika kituo cha Polisi

mkoani humo.

Rais Magufuli ameonesha hali hiyo akiwa kwenye ziara ya kikazi mkoani Rukwa, ambapo pia alikuwa akizindua mradi wa barabara kutoka Tunduma kuelekea Sumbawanga na kudai  kuwa mkoa huo unachangamoto ya masuala ya ulinzi.

"Mimi nadhani hapa Rukwa kuna tatizo kuhusu suala la ulinzi haiwezekani mtu anaachiwa hivihivi, halafu wewe RPC daah mambo mengine naomba tumwamchie Mungu." amesema Rais Magufuli.

Awali maongezi baina ya Rais Magufuli  na RPC Kyando yalikuwa hivi.

JPM : Polisi 9 walioamuliwa na Waziri kuhamishwa wameshahamishwa?
RPC - Maaskari 9 sijapata majina yao.
JPM : Alizungumza kwenye vyombo vya habari.
RPC - Niimuita OCD lakini hakuwapata.
JPM : Nimemteua anaagiza nyinyi hamtekelezi, hii ni dharau, ukatekeleze.

Tazama uzinduzi kamili hapo chin

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava