Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan
Hayo ameyabainisha hii leo Januari 27, 2022, wakati akisherehekea siku yake ya kuzaliwa jijini Dodoma, ambapo ametimiza umri wa miaka 62.
"Ukiona kichwa kimejaa zaidi tiba yangu ni wajukuu, napiga tu simu nileteeni hao kwahiyo wanakuja kwa masaa kadhaa hasa nikiwa Dar es Salaam, piga kelele panda shuka, pigishwa mbio kwenye ngazi wakirudi wanakokaa basi ubongo umepumzika," amesema Rais Samia