Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Rais Samia ni wa mfano kimataifa" - Dkt Mwigulu

Jumapili , 4th Dec , 2022

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Rais Dkt Samia, amekuwa akipigiwa mfano na mashirika ya fedha ya kimataifa na nchi mbalimbali duniani kwa ubunifu mkubwa wa utekelezaji wa miradi ya maendeleo inayotokana na fedha za mkopo usiokuwa na riba wa Benki ya Dunia wa Tril 1.3.

Waziri wa Fedha na Mipano, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, akizungumza na wakazi wa Kata ya Kaselya,

Kwa ajili ya kukabiliana na athari za kiuchumi zinazotokana na changamoto ya UVIKO 19.

Hayo ameyabainisha baada ya wakazi wa Kata ya Kaselya, wilayani Iramba mkoani Singida, kuondokana na adha ya maji baada ya kukamilika kwa mradi wa maji wa Kaselya uliogharimu zaidi ya shilingi milioni 770.

Wakazi hao wameishukuru serikali kwa kufanikisha na kukamilisha ujenzi wa mradi huo, wakati wa ziara ya Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba, alipotembelea na kukagua mradi huo ambao fedha zake zinatokana na mradi wa kukabiliana na athari za UVIKO 19.

"Tunakuomba utupelekee salamu nyingi kwa Rais Mheshimiwa Dkt.Samia Suluhu Hassan, kwa kututatulia changamoto ya maji kafika Kata yetu, ametutua ndoo kichwani wanawake na wewe Mheshimiwa Waziri wa Fedha na Mipango na Mbunge wetu kwa jitihada zako za kufanikisha mradi huu na miradi mingine," walisema wakazi wa kata hiyo

Kwa upande wake, Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba ameahidi kumfikishia Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan pongezi za wananchi hao kwa jitihada zake za kuwaletea wananchi maendeleo kwa kasi kubwa.

Akiwa jimboni, Dkt. Nchemba ametembelea na kukagua ujenzi wa miradi mbalimbali ukiwemo ujenzi wa miundombinu ya madarasa  ya shule ya sekondari Ndulungu, kituo cha afya Mwandegembe, shule ya sekondari Mbelekese, kituo cha afya Urugu na kuzungumza na wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika tarafa ya Ndago.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu