Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

RC aliyetaka Mungu amshukuru JPM atakiwa kujutia

Jumatano , 10th Apr , 2019

Mbunge wa Singida Magharibi, Elibariki Kingu amekosoa kauli ya  Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri kwamba Mungu anapaswa kumshukuru Rais Magufuli na kufafanua kwamba ni vyema vinywa vilindwe ili kuepuka kukufuru kwa kulewa madaraka.

RC Mwanri

Kingu amefafanua hayo ikiwa ni baada ya kusambaa mitandaoni kwa video iliyokuwa ikimuonyesha Mwanri akisema kwamba  wao wana Tabora watamuomba Mungu amshukuru Rais Magufuli kwa kazi nzuri anayoifanya.

"Yeye Mungu ndio amshukuru Rais wetu na kumwambia Rais wetu asante kwa kazi anayoifanya" Alisema Mwanri.

Akiikosoa kauli hiyo Mbunge  Kingu amesema kwamba  "Tusifike mahali kama taifa na viongozi kuanza kujiinua zaidi ya Mungu. Hii litaleta laana ambayo hakuna atakayesimama juu ya kauli zinazojiinua dhidi ya Mungu. Jehova hajaribiwi wala kudhihakiwa, Mungu tupe hekima kulinda vinywa maana vimebeba uzima na mauti".

"Yahwe mkuu sana, lazima tulinde vinywa kuepuka kukufuru kwa kulewa madaraka. Kauli kuwa Mungu ndio amshukuru Rais wetu natamka wazi haina uvuvio wa Ki Mungu bali imebeba emotions za kidunia na kukosa unyenyekevu mbele ya mtoa uzima ambaye ni Yahwe na Jehoval Elishadai" amesema.

Ameongeza kwamba "yule aliyeitoa ajutie na kumwomba Mungu wa rehema kuwa aliingiliwa na mwovu katika kinywa.Mimi ni dhaifu na mwenye dhambi lakini niko chini ya Neema ya Mungu najua madhara kwa nchi kwa kauli kama hii".
 

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA