Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ripoti ya CAG yazua taharuki kwa Mawaziri

Jumatatu , 16th Apr , 2018

Wenyeviti wa kamati mbili za bunge za hesabu za serikali PAC na ile ya serikali za mitaa LAAC, wamekosoa uamuzi wa baadhi ya Mawaziri waliojitokeza mbele ya waandishi wa habari na kuanza kupangua hoja za CAG kabla hazijafikishwa ndani ya bunge na kudai kitendo hicho ni cha udhalilishaji.

Hayo yameelezwa na Mwenyekiti Naghenjwa Kaboyoka wa PAC na Vedasto Ngombale ambaye ni mwenyekiti wa LAAC, wakati walipokuwa wanazungumza na waandishi wa habari leo Jijini Dodoma baada ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali CAG Prof. Mussa Assad, kuwasilisha ripoti ya ukaguzi iliyoishia Juni 30, 2017 kwa waandishi wa habari mjini Dodoma wiki iliyopita kisha kuanza kuonekana kwa baadhi ya Mawaziri kujibu ripoti hiyo nje ya Bunge.

"Mawaziri sita ambao wamejibu hoja za CAG kupitia kwa waandishi wa habari wanakiuka sheria na hawapaswi kujibu badala yake wanaotakiwa kufanya hivyo ni makatibu wa wizara wenye wajibu ambao ndiyo wanaitwa na kuhojiwa na kamati husika", wamesema wenyekiti hao.

Hii ni kwa mara ya kwanza katika historia ya bunge nchini, hoja zinazotolewa na CAG zimekuwa zikijibiwa na Mawaziri kabla hazijafikishwa mbele ya Wabunge.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa