Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ripoti ya Uchumi ya Benki ya Dunia yazua gumzo

Ijumaa , 19th Jul , 2019

Ripoti ya Mwenendo wa Uchumi wa Tanzania iliyotolewa jana Julai 18, na Benki ya dunia imeleta gumzo mtandaoni baada ya kuonyesha kutofautiana na taarifa ya Serikali iliyotolewa bungeni na Waziri wa Fedha na Mipnago, Dkt Philip Mpango.

Ripoti ya Uchumi ya Benki ya Dunia yazua gumzo

Akizungumza wakati wa uzinduzi wa ripoti hiyo, mchumi kutoka Benki ya Dunia, Bill Battaile amesema ripoti ya mwaka huu imeonyesha kuwa uchumi wa Tanzania ulikua kwa asilimia 5.2 mwaka 2018, ikiwa ni tofauti na ripoti ya Serikali ya Tanzania ambayo imeonesha uchumi wa nchi unakua kwa asilimia 7.

Ripoti ya Benki ya Dunia imeeleza kuwa ukuaji wa kiwango cha uwekezaji, ulishuka kwa sababu ya Serikali kushindwa kuyafikia malengo yake ya matumizi katika miradi ya maendeleo.

Aidha imeshauri kuwa ili kuimarisha uchumi wa nchi, Serikali inatakiwa kuboresha mazingira ya ufanyaji wa biashara, ikiwemo kuondoa mabadiliko ya ghafla ya sera yanayosababisha kutotabirika kwa biashara pamoja na kuondoa changamoto kwenye nishati, usafirishaji pamoja na kuboresha miundombinu ya uwekezaji ili kuzivutia sekta binafsi.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA