Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ripoti ya Uchumi ya Benki ya Dunia yazua gumzo

Ijumaa , 19th Jul , 2019

Ripoti ya Mwenendo wa Uchumi wa Tanzania iliyotolewa jana Julai 18, na Benki ya dunia imeleta gumzo mtandaoni baada ya kuonyesha kutofautiana na taarifa ya Serikali iliyotolewa bungeni na Waziri wa Fedha na Mipnago, Dkt Philip Mpango.

Ripoti ya Uchumi ya Benki ya Dunia yazua gumzo

Akizungumza wakati wa uzinduzi wa ripoti hiyo, mchumi kutoka Benki ya Dunia, Bill Battaile amesema ripoti ya mwaka huu imeonyesha kuwa uchumi wa Tanzania ulikua kwa asilimia 5.2 mwaka 2018, ikiwa ni tofauti na ripoti ya Serikali ya Tanzania ambayo imeonesha uchumi wa nchi unakua kwa asilimia 7.

Ripoti ya Benki ya Dunia imeeleza kuwa ukuaji wa kiwango cha uwekezaji, ulishuka kwa sababu ya Serikali kushindwa kuyafikia malengo yake ya matumizi katika miradi ya maendeleo.

Aidha imeshauri kuwa ili kuimarisha uchumi wa nchi, Serikali inatakiwa kuboresha mazingira ya ufanyaji wa biashara, ikiwemo kuondoa mabadiliko ya ghafla ya sera yanayosababisha kutotabirika kwa biashara pamoja na kuondoa changamoto kwenye nishati, usafirishaji pamoja na kuboresha miundombinu ya uwekezaji ili kuzivutia sekta binafsi.

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90