Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rwanda yatajwa kuongoza kwa umeme wa bei chee

Jumapili , 26th Mar , 2023

Rwanda imeorodheshwa kama moja ya nchi 30 duniani zenye bei nafuu zaidi ya umeme majumbani, kwa mujibu wa ripoti iliyotolewa mapema mwezi huu na Statista.com.

Statista.com ni jukwaa la mtandaoni lililobobea katika soko na data za watumiaji. Nchi nyingine za Afrika zilizomo kwenye orodha hiyo ni pamoja na Ghana, Afrika Kusini na Kenya.

Ripoti hiyo ilitokana na kipindi cha utafiti cha Juni 2022 na ilijumuisha nchi 30 kote ulimwenguni.

Wastani wa bei ya umeme Rwanda ilikuwa dola 0.24 kwa kilowatt (kWh), huku vituo vya afya vikitozwa Rwf186 kwa kWh, Rwf134 kwa kWh kwa wafanyabiashara wadogo, Rwf103 kwa kWh kwa biashara za kati, na Rwf94 kwa kWh kwa biashara kubwa.

Jambo  hilo linatokana na kuzingatia rasilimali za nishati mbadala na uwekezaji katika miundombinu yake ya nishati. Rwanda imewekeza sana katika kukuza uwezo wake wa kuzalisha umeme ukiwemo umeme wa jua, jambo ambalo limesababisha kupungua kwa gharama za uzalishaji wa umeme.

HABARI ZAIDI

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji