Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Sababu za Maalim kuiacha CHADEMA

Jumanne , 19th Mar , 2019

Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha CUF, amesema kwamba sababu iliyomfanya kukichagua chama cha ACT- Wazalendo ni pamoja na moyo wake kuridhia.

Zitto kulia akiwa pamoja na Maalim Seif

Amesema kwamba, kabla ya kufanya maamuzi walitembelea vyama vyote vinavyounda Ukawa ili kuchagua kipi kingemfaa yeye pamoja na wenzake na ndipo wakavutiwa na chama hicho.

Amesema baada ya kutazama vyama hivyo waliamua kukitembelea ACT na kwa kuwa tayari kilikwishapeleka maombi ya kujiunga na Ukawa ndipo mahali mioyo yao iliporidhia.

"Vyama vya upinzani vyote ni vizuri, lakini kwenye uzuri kipo ambacho kinazid. ACT mioyo yetu imeridhia safi kabisa", amesema.

Baada ya kukabidhiwa kadi ya uanachama wa ACT, Maalim amesema hataki kutajiwa au kusikia habari za Lipumba kwa kuwa hataki kugombana tena na kiongozi huyo.

Seif akijibu swali la kuhusu Lipumba kudai kwamba Seif alidekezwa ndani ya chama ndiyo maana yametokea yaliyotokea, amesema kwamba kwa upande wake na Lipumba yamekwisha

"Leo sitaki kuongelea lolote kuhusu Lipumba, sitaki kulumbana na yeye. Lipumba Kwangu mimi finish", amemalizi Maalim kwa msisitizo.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto