Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Sadaka ya Misa ya Rais Mkapa kukarabati Nyumba

Jumapili , 26th Jul , 2020

Askofu Mkuu wa Jimbo Katoliki la Dar es Salaam Yuda Ruwa’ichi, ameagiza sadaka itakayopatikana kwenye shughuli ya kumuaga Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Benjamin William Mkapa, zitumike kukarabati nyumba ya mapadri wa Lupaso, mkoani Mtwara.

Rais Mstaafu, Marehemu Benjamin William Mkapa

Kauli hiyo imetolewa leo Julai 26, 2020, wakati wa ibada ya kuagwa katika viwanja vya Uhuru jijini Dar es Salaam, ambapo kupitia taarifa hiyo imeeleza namna kiongozi huyo alivyokuwa akilitumikia Kanisa hilo enzi za uhai wake.

“Mhasham Baba Askofu Mkuu wa Jimbo Katoliki Dar es salaam, Yuda Rua’ichi kwa niaba ya Baraza la Maaskogu Tanzania, ameagiza sadaka hii ya leo itatumika kumuenzi Mzee wetu kwa kukarabati nyumba ya Mapadri Lupaso”.

Taarifa hiyo imeongeza kuwa, “Mzee Mkapa alikuwa na nia ya kukarabati nyumba hiyo na ukarabati huo unakadiriwa kutumia si chini ya shilingi milioni 20, pia haijawahi kukarabatiwa toka ilivyojengwa na wamisionari wa kwanza”.

Mwili wa Rais huyo Mstaafu utaagwa kwa siku tatu kuanzia leo Julai 26 hadi 28 na atazikwa kijijini kwao Lupaso, wilayani Masasi mkoani Mtwara Julai 29.

 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine