Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Sakata la Escrow, PAC yamtaka Pinda kuwajibika

Jumatano , 26th Nov , 2014

Kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali imependekeza kufukuzwa kazi kwa Waziri wa Nishati na Madini kutokana na kulipotosha bunge na taifa kwa ujumla kuhusiana na fedha ya akaunti ya Tegeta Escrow

Kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali imependekeza kufukuzwa kazi kwa Waziri wa Nishati na Madini kutokana na kulipotosha bunge na taifa kwa ujumla kuhusiana na fedha ya akaunti ya Tegeta Escrow pamoja na kuwa dalali mkuu aliyewakutanisha Bwana Harbinder Sigh Sing Set na Bwaba Rugemalila katika ofisi za umma.

Akiwasilisha taarifa ya kamati kufuatia matokeo ya ukaguzi maalum wa mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali katika akaunti ya Tegeta Escrow amesema waziri wa nishati na madini alifanya udalali huo akijua dhahiri kuwa Bwana Sethi hana uhalali wa kisheria kufanya biashara kwa jina la IPTL.

Kamati imependekeza waziri mkuu Mheshimiwa Mizengo Pinda kuwajibika kutokana na kauli zake za kuaminisha umma kuwa fedha zile siyo za umma kiasi kwamba vyombo vya habari ikiwemo gazeti la Daily News kuchapisha habari yenye kichwa cha habari kilichoandika hakukuwa na tatizo katika IPTL kauli inayoonesha alishindwa kutekeleza wajibu wake.

Aidha mwenyekiti wa PAC Zitto Kabwe amesema kamati hiyo inapendekeza mwanasheria mkuu wa serikali uteuzi wake utenguliwe na afikishwe mahakamani kwa matumizi mabaya ya ofisi yaliyopelekea serikali kupoteza mabilioni ya shilingi.

Kamati hiyo pia imetaja majina ya viongozi waliopata mgao wa fedha za Tegeta Escrow wakiwemo viongozi wa dini na baadhi ya watumishi wa idara na taasisi za serikali.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mheshimiwa January Makamba

Ziara ya Rais Samia Korea kuanza rasmi Mei 31 2024

Bw. Nazar Nicholas (katikati) akikabiziwa tuzo ya WSIS 2024

Tanzania yashinda Tuzo WSIS 2024, nchini Uswisi

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20