Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Samaki waliokufa waibua hofu Ziwa Victoria 

Jumatatu , 1st Mar , 2021

Wakazi wa Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera, wamekumbwa na hofu ya kulishwa samaki wanaookotwa ziwani na wavuvi wakiwa wamekufa, baada ya kuonekana uwepo wa samaki wengi wanaoelea katika ziwa Victoria, ambao chanzo cha kifo chao bado hakijafahamika.

Samaki aina ya Sangara waliokutwa wamekufa ziwani

Wakizungumzia tatizo hilo baadhi ya wakazi hao wamesema kuwa kila mwaka kati ya mwezi Januari na Februari huonekana samaki aina ya sangara waliokufa wakielea ziwani ambao huokotwa na kutumiwa kama kitoweo, lakini wa sasa wameharibika kiasi kwamba hawawezi kuliwa, huku baadhi ya wavuvi wakidai uwepo wa samaki hao ni neema kwao.

Afisa Uvuvi mkoa wa Kagera Ephrazi Mkama, amewataka wananchi kuchukua tahadhari na kutotumia samaki hao kama kitoweo, ili kuepuka kupata madhara endapo watakuwa wamekufa kutokana na kula chakula chenye sumu.

Kwa upande wake Mtafiti kutoka Taasisi ya Utafiti wa Uvuvi Tanzania -TAFIRI- kituo cha Nyegezi Mwanza, Enock Mlaponi, amesema kuwa wamekwishachukua sampuli za samaki hao na kuipeleka kwa Mkemia Mkuu ili kuona kama wana madhara kwa binadamu na sasa wanasubiri majibu, huku akidai kuwa inawezekana wanakufa kutokana na kukosa hewa ya oksijeni ya kutosha.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava