Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Samaki wasababisha watano kufariki papo hapo

Jumatano , 15th Aug , 2018

Watu watano wamefariki dunia papo hapo na watatu kujeruhiwa, baada ya gari linalodaiwa kuwa lilikuwa likiwakimbia polisi kupinduka, ajali hiyo imetokea jana alfajiri eneo la Mika Kitongoji cha Bukwe wilayani Rorya mkoani Mara.

Pichani gari lililopata ajali.

Kamanda wa Polisi Tarime na Rorya, Henry Mwaibambe amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo na kusema kuwa ajali hiyo ilitokea wakati dereva aliyekuwa amepakia samaki wanaodaiwa kuvuliwa kinyume cha sheria akiwakimbia askari waliokuwa doria.

Baada ya ajali tulikuta mafurushi manne ya samaki yakiwa yameandikwa majina inaonekana ndio, watu waliokuwa wakipelekewa mizigo hiyo na zilichukuliwa na watu wa uvuvi kwaajili ya uchunguzi”, amesema Kamanda.

Mwaibambe amewataja waliofariki dunia kuwa ni mmiliki na dereva wa gari hilo, Athumani Masiaga (42) na Lucia Mwita (27) ambao wote ni wakazi wa Tarime mjini, wengine ni Mang’ala Baruti (40) na Jumanne Makonya (52), wakazi wa mji mdogo wa Shirati wilayani Rorya na Khadija Nangai ambaye umri na makazi yake hayajajulikana.

Kamanda Mwaibambe amewataja majeruhi wa ajali hiyo kuwa ni Fidelis Fredrick (29), mkazi wa Busurwa wilayani Rorya; Mwita Saitoti (48) na Christina Nyangioso (28) ambao ni wakazi wa Tarime.

Mwezi  Februari mwaka huu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Luhaga Mpina kupitia oparesheni yake ya siku arobaini aliyoendesha katika mikoa ya kanda ya ziwa kupinga uvuvi haramu, alimwagiza katibu mkuu wa wizara hiyo anayeshughulikia uvuvi Dkt.Yohana Budeba pamoja na wakurugenzi wote wa halmashauri za wilaya katika mikoa ya kanda ya ziwa, kuwafuta kazi mara moja watumishi 65 na viongozi wa kamati za usimamizi wa raslimali za uvuvi (BMU) 26 baada ya kubainika wanashiriki kufadhili uvuvi haramu ndani ya ziwa Victoria.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava