Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Samia aeleza haya mkutano wa sekta binafsi

Jumapili , 18th Oct , 2020

Makamu wa Rais  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu, ametaja sababu Rais Dkt.John Pombe Magufuli kutokuudhuria mkutano wa sekta binafsi uliobeba lengo la kumpongeza kwa mafanikio yaliyopatikana ndani ya miaka mitano.

Makamu wa Rais  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu

Akizungumza na wananchi waliodhuria mkutano huo leo, Oktoba 18, Mama Samia amesema kuwa yupo kwa ajili yakumuwakilisha Rais Magufuli, ambaye amefanya kazi kubwa sana ya kuzunguka nchi nzima  na kuongea na wananchi.

 

“Niko hapa kwa niaba ya Mhe.Rais Dkt. John Pombe Magufuli, ambaye alitaka sana kuwa nanyi leo lakini kama mnavyojua tumefanya kazi kubwa yakuzunguka nchi tumeongea sana ameongea sana Dar es salaam, kwa kweli mpaka ananipigia simu nikamwambia Mheshimiwa pumzika mimi naenda" alisema Mama Samia

 

“Najua hivyo yuko ofisini anaendelea na kazi kwa hiyo nipo hapa kwa ajili yake na nitasema yale ambayo angekuwepo angesema na nitapokea yale ambayo mmeniambia niyabebe nimpelekee bila kuongeza wala kupunguza" aliongeza Mama Samia

 

Leo sekta binafsi imefanya makutano kwa ajili ya kumpongeza Rais Dkt.John Magufuli kwa mafinikio yaliyopatikana chini ya uongozi wake kwa muda wa miaka mitano huku Mama Samia Suluhu, akiwa mgeni rasmi akimuwakilisha Rais Magufuli.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava