Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Samia afunguka kuzomewa kwa Ramaphosa

Jumapili , 15th Sep , 2019

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amesema amefurahishwa na hotuba ya kuomba msamaha iliyotolewa na Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, baada ya wananchi wa Zimbabwe kumzomea wakati wa zoezi la kuaga mwili wa Rais wa zamani wa Zimbabwe, Robert Mugabe

Makamu wa Rais Samia Suluhu amesema hotuba ya Rais wa Afrika ya Kusini Ramaphoser aliyoitoa kwa wananchi wa Zimbabwe na Afrika kwa Ujumla, ni kitendo cha ungwana kwa kuweza kuomba samahani, kutokana na vitendo vinavyoendelea kufanywa wa wananchi wa Afrika Kusini.

"Nimefurahishwa sana na hotuba aliyoitoa Rais wa Ramaphosa kwa sababu alipoanza wananchi walikuwa wanamzomea sana, lakini aliomba samahani kwa Afrika na samahani kwa Zimbabwe na wananchi walimpenda sana." amesema Makamu wa Rais

Hafla ya kumuaga Mzee Mugabe imefanyika Kitaifa katika Uwanja wa Taifa wa Michezo Jijini Harare Nchini Zimbabwe ambapo Makamu wa Rais amemuwakilisha Rais Magufuli kwenye.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava