Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Sasa hivi bodaboda wanakula raha tu" - Kangi

Jumatatu , 20th Mei , 2019

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola amesema kuwa hakuna bodaboda yoyote itakayokamatwa isipokuwa zilizohusika katika ajali, uhalifu na pikipiki ambazo hazina mwenyewe.

Waziri Kangi Lugola.

Waziri Kangi ametoa kauli hiyo bungeni jijini Dodoma leo Mei 20, wakati akijibu swali la Mbunge viti maalum (CCM) kutoka mkoani Tabora Rehema Migila, ambaye alihoji kuwa kumekuwa na ukamataji wa bodaboda kiholela na zinaporudishwa kwa wamiliki huwa zimechomolewa baadhi ya vifaa na zingine hubambikiziwa kesi kubwa na wamiliki kuzitelekeza.

Kangi amesema kuwa hakuna bodaboda itakayokamatwa kwa makosa ya mwendokasi au kutovaa kofia ngumu (helmet) isipokuwa pikipiki iliyotumika katika uhalifu, iliyopata ajali na bodaboda ambayo haina mwenyewe.

"Hakuna bodaboda itakayokamatwa kama haiko katika makundi hayo matatu, hakuna atakayepelekwa kituo cha polisi kwa makosa madogo madogo, sasa hivi bodaboda nchi nzima wanakula raha tu", amesema Waziri Kangi.

Hayo yamejiri baada ya bodaboda nyingi kukamatwa na kupelekwa katika vituo vya polisi, hali ambayo hupelekea madereva wengi kuzitelekeza vituoni kutokana na kushindwa kuzilipia faini.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava