Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Saudi Arabia yaruhusu migahawa kuwa na mlango 1

Jumatatu , 9th Dec , 2019

Hatimae Serikali nchini Saudi Arabia, imeruhusu migahawa kuwa na mlango mmoja wa kuhudumia wateja bila kuzingatia jinsia ama familia, ambapo hapo awali ilikuwa lazima kuwa na mlango mmoja kwa ajili ya familia wa wanawake na mwingine wa wanaume.

Namna ambavyo hapo awali kulikuwa kumejengwa ukuta, unaowatenganisha wanawake na wanaume katika migahawa nchini Saudi Arabia.

Sharti hilo kwa sasa limeondolewa, huku migahawa mingi pamoja na maeneo mengine ya kufanyia mikutano ikifuata mkondo huo.

Mapema mwaka huu, agizo kutoka kwa Mfalme lilihitaji wanawake wa Saudia, kuruhusiwa kusafiri hadi Mataifa ya nje bila ya kupata ruhusa ya msimamizi wa kiume, pamoja na kuondoa marufuku ya wanawake kujiendesha wenyewe ambayo ilifikia ukomo wake mwaka 2018, iliyokuwa imedumu kwa miongo kadhaa.

Hata hivyo wanaharakati wanalalamika kwamba, sheria nyingi zinazobagua wanawake bado zinaendelezwa na watu wengi mashuhuri wanaotetea haki za wanawake, wamekamatwa hata wakati ambapo Serikali inafanya mabadiliko haya.

Tangu Mohammed bin Salman alipotawazwa na kuwa Mfalme mwaka 2017, amefanya mabadiliko katika jamii ambayo imekuwa ikikumbatia tamaduni zake za jadi.

Mabadiliko yake yameungwa mkono na jamii ya kimataifa lakini yamekuwa yakikandamizwa.

HABARI ZAIDI

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji