Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali kufanya tathimini athari za mvua

Alhamisi , 19th Apr , 2018

Serikali ya Tanzania kupitia Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kamati za maafa zilizopo katika mkoa zitafanya tathmini ili kujua miundombinu iliyoharibika ikiwemo barabara, madaraja na miradi mbalimbali hata ile ya watu binafsi ili taratibu za matengenezo zipate kufanyiwa kazi.

Waziri Mkuu Majaliwa amebainisha hayo leo Aprili 19, 2018 Bungeni jijini Dodoma kwenye kikao cha 13 mkutano wa 11 wa Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wakati akijibu maswali ya papo kwa hapo kutoka kwa Wabunge mbalimbali ambayo yalikuwa yanaelekezwa kwa kwake ili yapatiwe majawabu.

"Mvua bado zinaendelea kunyesha nchini, kamati za maafa katika kila mkoa zitafanya tathimini ya kujua ni miundombinu ipi imeharibika na kwa kiasi gani pamoja na ile ya watu binafsi ili taratibu za kawaida za matengenezo zifanyike hususani na TANROAD na TARURA", amesema Majaliwa.

Kwa upande mwingine, Waziri Mkuu amesema kwa sasa kumekuwepo na neema ya mvua ambayo ina nyesha maeneo mbalimbali nchini huku serikali ikiwa imeweka mikakati ya miundombinu ya kutosha katika jiji la Dar es Salaam ili kuwezesha kuimarisha njia za kupita maji na kuwataka wananchi wanaishi mabondeni kuhama ili kujiepushia kupata madhara zaidi.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava