Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali kuja na mbadala wa Chips kwa wanafunzi

Ijumaa , 6th Dec , 2019

Serikali mkoani Kagera imeshauriwa kuweka utaratibu, utakaowezesha wanafunzi wote wa Shule za Msingi na Sekondari kupata uji au chakula shuleni, ili kupunguza tatizo la mimba linalotokana na baadhi yao kudanganywa kwa chipsi.

Chips

Wakizungumza wakati wa kikao cha wadau wa elimu cha kutathmini maendeleo ya sekta hiyo, baadhi ya washiriki wamesema kuwa ni vigumu kuwaepusha wanafunzi wa kike na vishawishi, wakati wanashinda njaa shuleni, huku baadhi yao wakitoka nyumbani bila hata kunywa chai.

Akijibu hoja hizo Mwenyekiti wa kikao hicho, ambaye ni Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Brigedia Jenerali Marco Gaguti, amezitaka Halmashauri zote kushirikikana na Serikali za Vijiji na wananchi, kuweka utaratibu wa kupata uji au chakula shuleni.

Awali akisoma taarifa za utekelezaji katika kikao hicho, Afisa Elimu wa Mkoa wa Kagera Juma Mhina, amesema kuwa mimba kwa wanafunzi zimepungua kutoka 201 mwaka 2018 hadi kufikia mimba 65 Novemba 2019a

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava