Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali yaanza kushughulikia migogoro ya Maji

Jumanne , 19th Jul , 2016

Serikali imesema kuwa imeanza kushughulikia tatizo la upungufu wa maji ikiwa ni pamoja na kuwakamata watu watu wanaosabisha uhaba wa maji kwa makusudi ikiwemo kujiunganishia huduma hiyo kiholela.

Waziri wa Maji na Umwagiliaji ,Mhandisi Lwenge akizindua rasmi moja ya mradi wa maji

Akizungumza jana Jijini Dar es Salaam, Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhandisi Gerson Lwenge amesema tatizo zaidi lilikuwepo kwa jiji la Dar es salaam ambapo kuna watu wengi zaidi walikua wanatumia maji kwa kujiunganishia kwa njia zisizo rasmi.

Mhandisi Lwenge amewataka viongozi wa ngazi zote wawajibike katika utunzanji wa miundo mbinu ya maji ili serikali iweze kusambaza maji kwa urahisi huku akiwataka wananchi kutoa ushirikiano juu ya wale wote wanaohusika na uharibu wa miundo mbinu.

Waziri huyo wa Maji ameongeza kuwa wametengeza utaratibu maalumu kwa wauzaji wa maji kwenye magari ambao wakati mwingine walikuwa wanachanganya maji safi na maji taka katika magari yao na kusambaza kwa ajili ya matumizi ya kawaida kwa wananchi.

Aidha Mhandisi Lwenge amesema wametengenza utaratibu wa kutenga mabonde kwa ajili a uhifadhi wa maji kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji ili kuondoa migogoro ya wakulima kujitengenezea mikondo ya maji katika mashamba yao bila utaratibu na kusababisha migogoro.

HABARI ZAIDI

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari

Picha ya Diddy na Cassie enzi za mahusiano yake

Diddy aomba msamaha kumshambulia EX wake Cassie

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu