Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali yamtaka Zitto kusubiri

Jumatano , 18th Apr , 2018

Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano imemtaka mbunge wa Kigoma mjini Zitto Zuberi Kabwe, kuvuta subira juu ya ujenzi wa bandari katika ziwa Tanganyika mkoani Kigoma.

Akijibu swali za Zitto Kabwe lililotaka kujua ni kwa nini serikali haijaidhinisha utangazwaji kwa zabuni za ujenzi wa bandari hiyo mkoani Kigoma licha ya maandalizi kuwa tayari, serikali kupitia Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano John Elias Kwandikwa, amesema ujenzi wa bandari hiyo tayari umeshawekwa kwenye bajeti ijayo. 

“Siyo kweli kwamba serikali imezuia, ujenzi una hatua zake, tunaanza kwenye usanifu, kuweka fedha , kama kuna jitokeza jambo linajitokeza lazima serikali ichukue hatua, nikutoe wasi wasi tusubiri wakati wa bajeti utaona namna tulivyojipanga, maeneo yote ambayo Zitto anataja tumeainisha vizuri kwenye bajeti, ni Jumatatu tutaanza kuwasilisha bajeti ya wizara hii”, amesema Naibu Waziri Kwandikwa.

Kwenye swali lake Zitto Kabwe ameainisha kwamba bajeti ya ujenzi wa bandari hiyo ilishatengwa tangu mwaka 2016/17 na tayari mamlaka ya bandari ilishaweka utaratibu wa manunuzi, na kusema kwamba Wizara imezuia kutangaza zabuni hizo.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava