Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali yamvaa mkandarasi juu ya ujenzi barabara

Jumapili , 26th Jan , 2020

Serikali mkoani Morogoro imesikitishwa na mwendo wa kusuasua wa ujenzi wa barabara ya Kidatu-Ifakara baada ya miundombinu iliyopo kushindwa kustahimili maji mengi, mkandarasi akiwa amefikia asilimia 10 pekee huku mradi ukitarajiwa kukabidhiwa Aprili mwaka huu.

Eneo la Kanolo ambalo daraja limesombwa na maji

Hayo yamebainishwa na Kamati ya Ulinzi na Usalama mkoani humo ilipotembelea mradi huo ikiongozwa na Katibu Tawala wa mkoa, Mhandisi Emmanuel Kalobelo kufuatia daraja lililopo eneo la Kanolo wilayani Kilombero kusombwa na maji usiku wa Januari 24 kufuatia mvua kubwa zinazoendelea kunyesha.

Mkuu wa Wilaya ya Kilombero na Wakala wa Barabara mkoani Morogoro wamesema hawaridhishwi na kasi ya ujenzi wa mradi huo kwani mpaka sasa mkandarasi yuko nyuma ya muda kwa asilimia 90.

Naye Mhandisi Mshauri katika mradi huo, Maburugi Mapambano amekiri kuwa mradi huo uko nyuma huku wananchi wakiiomba serikali iangalie uwezekano wa kubadilisha mkandarasi huyo.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto