Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali yasitisha matumizi ya fomu ya 2C 

Ijumaa , 1st Jul , 2022

Serikali kwa mwaka wa fedha 2022/2023  imepanga kusimika mitambo 57 ya hewa tiba ya Oxjeni katika Hospitali zote za Rufaa za mikoa,Kanda pamoja na Hospitali za Wilaya nchini.

Hayo yamebainishwa leo Jijini Dodoma na Waziri wa Afya Ummy Mwalimu mara baada yakuzindua mtambo maalum wa uzalishaji hewa tiba ya Oxjeni katika Hospitali ya kibingwa ya Benjamin Mkapa uliogharimu Bilioni 1.5 ambapo amesema kituo hicho kitazalisha mitungi 400.

Katika hatua nyingine Waziri Ummy ametangaza kuanzia leo tarehe 1 mwezi wa 7 mwaka 2022 serikali imesitisha rasmi matumizi ya fomu ya 2C katika Hospitali zote za umma zinazotumia bima ya afya mara baada yakuonekana kuna  udanganyifu mkubwa unafanyika.

Fomu ya 2C ni karatasi inayoandikwa dawa nakupatiwa mgonjwa akaitafute dawa hiyo nje ya Hospitali au vituo vingine tofauti na alipotibiwa mgonjwa.

Nae Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Benjamini Mkapa Dk. Alphonce Chandika amesema kabla yakufungwa mitambo hiyo kipindi cha mlipuko wa Uviko 19 ,Hospitali hiyo ilikua inatumia mitungu 200 kwa siku kwa kutumia gharama ya shilingi milioni 10 na ilikua ikifwatwa Dar es salaam kwakua wao hawakua na uwezo wakuzalisha hewa ya Oxjeni.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava