Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali yatoa tamko wanaoishi karibu na Jeshi

Jumatano , 15th Mei , 2019

Serikali imeliambia bunge kuwa wanaendelea kuwalipa fidia stahiki wananchi ambao maeneo yao yametwaliwa na jeshi kwa ajili ya utekelezaji wa jukumu la ulinzi wa nchi.

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Hussein Mwinyi akijibu bungeni leo amesema kuwa katika mwaka wa fedha 2018/19, Wizara ilitenga shilingi bilioni 20.9 kwa ajili ya  kulipa fidia maeneo yaliyotwaliwa na jeshi ambapo baada ya uhakiki tayari kiasi cha shilingi bilioni 3 kimelipwa.

Swali hilo liliulizwa na Mbunge wa Mtambile ambaye alihoji, "Serikali ina mpango gani wa kulipa fidia kwa wananchi ambao maeneo yamechukuliwa na Jeshi"?.

Akijibu swali hilo, Waziri wa Ulinzi, Husein Mwinyi amesema kuwa, "baadhi ya maeneo yameshalipwa na mengine mchakato unaendelea, nia ya Serikali ni kulipa fidia kadri hali ya fedha itakavyoruhusu, 2018/2019 tulitenga Bil 20.9 za kulipa fidia, baada ya uhakiki Bil 3 zimelipwa na uhakiki maeneo mengine yanaendelea".

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto