Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Shule yapewa jina la Jokate Mwegelo na Waziri

Jumapili , 31st Mei , 2020

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tamisemi Mh. Seleman Jafo ameonesha kufurahishwa na kazi kubwa ya ujenzi wa shule mpya ya Sekondari ya Bweni ya wasichana aliyoipa jina la Jokate Girls High School iliyopo Mhaga wilayani Kisarawe.

Picha kubwa ni moja ya majengo ya shule ya Sekondari Jokate Mwegelo na picha ndogo ni DCJokate Mwegelo.

Waziri jafo amesema hayo alipotembelea na kukagua ujenzi wa shule hiyo ambayo inataraji kuanza muhula mpya wa masomo kwa wanafunzi wa kidato cha tano  wanaotaraji kuanza ifikapo mwezi Julai mwaka huu.

''Hili jambo zuri na la kupongezwa kwa jitihada za Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo, na Mkurugenzi naomba uanze kushughulikia usajili wa shule hii 

Jafo amewataka wanaopewa dhamana ya kusimamia miradi inayotekelezwa na serikali kote nchini kuhakikisha wanafanya kazi kwa weledi na uadilifu ili kuliletea taifa maendeleo.

Akitoa taarifa kwa Mh. Waziri Jafo Mkurugenzi wa Halmashauri ya Kisarawe Mussa Gama amesema mpaka ujenzi huo umefikia asilimia sabini huku ukitumia zaidi ya shilingi million mia tano za kitanzania zilizotokana na michango mbalimbali iliyochangishwa katika harambee ya Tokomeza Zero Kisarawe.

Tazama video hapa chini
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava