Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Shule zakutwa na mabweni kama magofu

Jumatatu , 8th Mar , 2021

Mkuu wa wilaya ya Kyerwa Rashid Mwaimu, kwa kushirikiana na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji mkoani Kagera, wamezifungia shule mbili za msingi ambazo ni Kido na Talent kutoa huduma ya bweni, kutokana na majengo yanayotumika kuwalaza wanafunzi kuwa na hali mbaya isiyofaa kutoa huduma hiyo.

Moja ya bweni walilokuwa wakilala wanafunzi

Shule hizo mbili za msingi ambazo usajili wake ni wa kutwa lakini zimebainika kulaza watoto kimya kimya, zimegundulika katika ukaguzi uliofanywa na jeshi la zimamoto na uokoaji kuanzia Februari 05 hadi 23 mwaka huu, unaolenga kubaini kama wamiliki na wasimamizi wa shule wanazingatia kinga ya ajali za moto katika shule.

Akizungumza baada ya ukaguzi huo Kaimu Mkuu wa jeshi hilo mkoa wa Kagera, Mkaguzi Thomas Majuto, amesema kuwa katika ukaguzi huo baadhi ya shule walikuta zina mapungufu kidogo yanayoweza kurekebishika, lakini nyingine zimekutwa miundombinu yake imeharibika na haifai kulaza wanafunzi.

Mkuu wa wilaya ya Kyerwa Rashid Mwaimu, amewataka wamiliki na wasimamizi wa shule zilizokaguliwa na kubainika kuwa na mapungufu ikiwamo kutokuwa na ving'amua moto na vizimia moto, kutakiwa kubadilisha milango na kuweka milango ya dharura kwa mabweni yenye mlango mmoja, kufanya marebisho hayo katika muda waliopewa, vinginevyo watachukuliwa hatua zaidi.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava