Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Silinde na Katambi waulamba Uwaziri

Jumamosi , 5th Dec , 2020

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Magufuli, ametangaza Mawaziri 21 wa Wizara mbalimbali aliowateua na kutangaza Manaibu Mawaziri 23, na kati ya hao yumo David Silinde aliyekuwa CHADEMA na kisha kuhamia CCM, yupo pia aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Dodoma Patrobas Katambi.

Kushoto ni Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana na Ajira, mteule, Patrobas Katambi na kulia ni Naibu Waziri TAMISEMI David Silinde.

Baraza hilo limetangazwa hii leo Desemba 5, 2020, na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John Kijazi, Ikulu ya Chamwino Dodoma, ambapo mbali na kutangaza mawaziri, Rais Magufuli pia ameongeza Wizara mpya ambayo ni Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, ambayo Waziri wake ni Dkt. Faustine Ndugulile.

"Wizara ya ulinzi aliyeteuliwa kuwa waziri ni Elias Kwandikwa, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, aliyeteuliwa kuwa Waziri ni Capt. George Mkuchika, Wizara ya Ardhi ni William Lukuvi, Wizara ya Maji ni Jumaa Aweso, Wizara ya Habari ni Innocent Bashungwa", ametangaza Balozi Kijazi.

Aidha wengine ni "Wizara ya Mifugo na Uvuvi aliyeteuliwa kuwa Waziri ni Mashimba Ndaki, Waziri wa Kilimo ni Profesa Adolf Mkenda, Waziri wa Viwanda na Biashara Goeffrey Mwambe, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira ni Ummy Mwalimu, Patrobas Katambi kateuliwa kuwa Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana na Ajira".

"Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Abdallah Ulega, Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira ni Mwita Waitara, Naibu Waziri TAMISEMI ni David Silinde", ametangaza Balozi John Kijazi

 

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu