Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Spika amzuia Waziri Mkuu kujibu swali

Alhamisi , 8th Nov , 2018

Spika wa Bunge, Job Ndugai amemzuia Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kujibu swali juu ya kuitwa nchini kwake balozi wa Umoja wa Ulaya (EU) nchini, Roeland van de Geer kwa kile alichokisema swali hilo lilikuwa nje ya uwezo wa Serikali.

Spika wa Bunge, Job Ndugai, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa

Swali hilo liliwasilishwa bungeni na Mbunge Cecil Mwambe wakati wa kipindi cha maswali na majibu kwa Waziri Mkuu ambapo alihoji juu ya wito wa balozi huyo wa Umoja wa Ulaya.

hivi karibuni tulishuhudia balozi wa EU alikuwa ameitwa kwao kujadili mahusiano ya nchi yetu na jumuiya za kimataifa?” Alihoji Mbunge Cecil

Akitoa maelezo ya maswali hayo Spika Ndugai amesema “napata wakati mgumu kupitisha swali lako sasa kama ameitwa nchini kwao unataka Waziri Mkuu ajibu nini, waziri Mkuu tunakushukuru nenda unaweza kwenda kupumzika.”

Ufafanuzi wa wito wake ulitolewa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Dk.Augustine Mahiga ambapo aliweka wazi kuwa balozi huyo hajafukuzwa kama inavyoelezwa bali ameitwa makao makuu ya umoja huo.

''Balozi wa Umoja wa Ulaya (EU) nchini Tanzania, Roeland van de Geer anayetarajia kuondoka leo usiku kwenda makao makuu ya EU hajafukuzwa bali ameitwa na umoja huo kikazi'', ilieleza taarifa ya Waziri Dr.Mahiga.

Taarifa za kufukuzwa kwa balozi Roeland van de Geer zilisambaa usiku wa Ijumaa mitandaoni na kuzua mijadala mbalimbali, jambo ambalo ilipelekea Waziri husika kutolea ufafanuzi.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava