Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Spika awataka Wabunge wakae 'miaka 45' Bungeni

Jumatatu , 9th Sep , 2019

Spika wa Bunge la Tanzania Job Ndugai, amemualika Bungeni Mbunge aliyekaa kwa muda mrefu jimboni kwa miaka 45, Chrisant Majiyatanga Mzindakaya na kuwataka Wabunge wote waige mfano wake.

Kwa mujibu wa Ndugai amemuita Mbunge huyo wa zamani kutoka Mkoa wa Rukwa ili awe funzo kwa Wabunge vijana, huku akikiri kwa sasa hakuna Mbunge anayeweza kukaa kwenye Ubunge kwa miaka mingi.

"Leo nimemualika maalum hasa kwa Wabunge vijana muweze kumfahamu huyu alikuwa Mbunge kwa miaka 45 mfululizo, hii ni rekodi ambayo hamuwezi kuifikia hata mtambike, alianza 1945 hadi 2010." amesema Ndugai.

"Mzindakaya amepata tuzo mbalimbali za utumishi ikiwemo tuzo ya Mwalimu Nyerere, tuzo kutoka Umoja wa Vijana, aliandikiwa barua na Rais Mwinyi ya kupongezwa kwa utendaji kazi wake, naomba mfuate nyayo zake" amesema Spika Ndugai.

Kwa sasa Bunge linaendelea jijini Dodoma ambapo Wabunge wanajadili miswada mbalimbali kabla ya kupitishwa kuwa sheria.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava