Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Spika Mstaafu amuunga mkono Mkapa kwenye hili

Jumatatu , 18th Nov , 2019

Spika Mstaafu wa Bunge la Tanzania, Pius Msekwa, amesema anaunga mkono kauli ya Rais Mstaafu Benjamin Mkapa kupitia kitabu chake cha 'My Life My Purpose', kuwa baadhi ya wagombea wa upinzani kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwaka 1995, walikuwa na hoja dhaifu na kupelekea Rais Mstaafu Mkapa kupata

Benjamin Mkapa

ushindi kwenye Uchaguzi huo.

Pius Msekwa ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na EATV na EA Radio Digital, iliyotaka kufahamu kuhusiana na maoni yake juu ya Kitabu kilichozinduliwa na Rais Mstaafu Mkapa, ambapo miongoni mwa mambo aliyoyaeleza kwenye kitabu hicho kuhusiana na Uchaguzi Mkuu wa 1995 ni kuwa wapinzani wake walikuwa dhaifu kwa hoja.

Pius Msekwa amesema kuwa "Kiukweli hata mimi ninachokikumbuka ndiyo kile ambacho amekisema Mkapa, ila yeye amepata muda zaidi wa kuangalia mambo aliyokutana nayo, niwasihi tu vijana kasomeni yale ya kwenye Kitabu na muyazingatie kabisa."

Novemba 12, 2019 ikiwa siku yake ya kuzaliwa Rais Mstaafu Mkapa, alizindua kitabu chake alichokiita kwa jina la 'My Life, My Purpose', ambapo viongozi mbalimbali wa Kitaifa walishiriki, akiwemo Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli na Rais Mstaafu Jakaya Kikwete pampja Ali Hassan Mwinyi.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava