Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Spika Ndugai azuia 'Kigogo' kutajwa Bungeni

Ijumaa , 5th Jun , 2020

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai, amewazuia Wabunge ndani ya Bunge hilo kutaja jina la Kigogo.

Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai.

Spika Ndugai ameyabainisha hayo leo Juni 5, 2020, wakati Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema, akichangia hoja ya Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Sheria ndogo na ndipo alipotolea mfano wa baadhi ya watu kwamba wamekuwa wakikamatwa na kutakiwa kumtaja mtu anayetumia jina la Kigogo katika mtandao wa Twitter.

Mbunge Lema alisema kuwa"Waacheni watu mitandaoni wapumue, wanachosema kama siyo ukweli Waziri atoke ajibu, nyie mnasemwa sababu ni Serikali, na sisi tukiwa Serikali tutasemwa kwa kiwango chenu, mimi siyo Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa sasa waniseme kwa kipi, sasa Mheshimiwa Spika mkiwazuia nini kinatokea, siku hizi watu wengi wanakamatwa Kigogo ni nani Kigogo ni nani".

Mara baada ya Mh Lema kutoa kauli hiyo, Spika Ndugai akajibu, "Aaah nimepiga marufuku, huyo achana naye".

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava