Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Spika Tulia aomba ufafanuzi wa samaki 'Changudoa'

Jumapili , 25th Sep , 2022

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Tulia Ackson, juzi Septemba 23, 2022, Bungeni jijini Dodoma aliomba ufafanuzi wa aina ya samaki aitwaye changudoa, baada ya kuwa miongoni mwa samaki wanaopewa kipaumbele katika kukuza uchumi wa buluu.

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Tulia Ackson

Hatua hiyo ilijiri mara baada ya Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega, kueleza mikakati ya wizara chini ya uratibu wa Ofisi ya Makamu wa Rais kwa kushirikiana na wadau wengine, kwa kusema imeweka mkakati na kutoa kipaumbele kwa dagaa, pweza, kambamiti, vibua, jodari, changudoa, unenepezaji wa kaa na ukuzaji wa lulu.

"Mheshimiwa Naibu Waziri, huyu anaitwa changudoa au changu mwenye madoa," aliuliza Spika wa Bunge 

Ambapo Naibu Waziri Ulega alijibu, "Mh Spika, samaki huyu ana aina mbili tatu, katika mpango mkakati, yuko changu na yuko changudoa na changudoa ndiyo tumemkusudia katika mkakati wetu na si changu wa kawaida, na hili ni jina na linategemeana na mtamkaji,".

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava