Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

''Sugu alikuwa  mtu wa Toto nyingi'' - DC Katambi

Jumatatu , 9th Sep , 2019

Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini Patrobas Katambi, amezungumzia mahusiano yake na Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi (Sugu), ambapo amempongeza kwa maamuzi ya kuoa kwa madai ya kwamba ameamua kuchagua tabia njema na si mwonekano wa mtu.

Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi na Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini Patrobas Katambi.

Akizungumza na EATV&EA Radio Digital Katambi amesema kuwa, licha ya kumpongeza lakini amemtaka kuachana na mambo yasiyokuwa na tija kwa wananchi wake na badala yake afanye vitu ambavyo ni bora kama alivyoamua kuchuja na kuchagua mmoja kati ya wale mamilioni aliokuwa nao  na kupata mke aliye mwema.

''Sugu si unajua alikuwa mzee wa Toto nyingi, hata kuoa kwake naona hakuangalia sana sura alijikita nadhani kwenye tabia, lakini sasa kwa umakini huo alioutumia kuchuja katika kuoa  basi ajichuje kwenye siasa,  afanye siasa zenye tija na maendeleo zitakazosaidia Taifa na watu wa Mbeya kupunguza walau yale maneno yasiyo na tija, kwahiyo  kama alishauriwa akaona hilo akaweza kulifanya na watu tukampongeza  basi na kwenye siasa ajitahidi napo tutampongeza'' amesema DC Katambi.

Mbunge Sugu alifunga ndoa siku ya Agosti 31, 2019 na aliyekuwa mpenzi wake wa muda mrefu Happiness Msonga, sherehe iliyohudhuriwa na viongozi mbalimba wa vyama vya siasa.
 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa