Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Suluhu inapatikana mezani nasio maandamano- Gambo

Alhamisi , 22nd Feb , 2018

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo amefunguka na kuwashukuru Chama cha wafanyakazi Tanzania (TUCTA) kwa kuweza kutatua changamoto za wafanyakazi kwa kukaa nao mezani badala ya ule utaratibu wa zamani uliozoeleka wa kuandamana.

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo

Gambo ameeleza hayo kupitia ukurasa wake maalumu wa kijamii asubuhi ya leo mara baada ya kupata taarifa ya mkoa wake kuchaguliwa kuwa wenyeji wa shughuli za Mei mosi kitaifa 2018.

"Tunawashukuru sana kwa kutupa heshima hii ya kuwa mwenyeji wa maadhimisho haya muhimu yanayohusu wafanyakazi wetu. Nimewapongeza kwa utaratibu wenu wa kutafuta suluhu ya changamoto za wafanyakazi kwa kukaa mezani na serikali badala ya utaratibu wa kizamani wa kuandamana", amesema Gambo.

Sherehe za hizo zilizopewa jina la 'Sikukuu ya wafanyakazi' huwa zinaanzimisha kila ifikapo mwezi wa Tano tarehe moja nchini Tanzania ambapo Rais wa nchi huwa anatumia jukwaa hilo kutatua shida na kero za wafanyakazi papo kwa hapo pamoja na kutangaza kushusha au kupandisha daraja za mishahara bila ya kusahau kodi ya kichwa.

HABARI ZAIDI

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji