Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Taasisi ya Ruge Mutahaba kufadhili vijana wabunifu

Alhamisi , 23rd Jun , 2022

Vijana wa Kitanzania zaidi ya 5,000 wenye vipaji na wabunifu wanatarajiwa kupata ufadhili wa masomo kutoka kwenye Taasisi ya Ruge Mutahaba, itakayozinduliwa rasmi usiku wa Jumapili ya Juni 26, 2022.

Mjumbe wa bodi ya wadhamini wa Taasisi ya Ruge Mutahaba Georgia Mutagahywa

Hayo yamesemwa na Mjumbe wa bodi ya wadhamini wa taasisi hiyo Georgia Mutagahywa, na kubainisha kuwa lengo la taasisi hiyo ni kuwaunganisha vijana mbalimbali wa Tanzania na kuwawezesha kuchangamkia fursa zilizopo katika jamii zao.

Akizungumza kwa niaba ya vyombo vya habari vitakavyoshiriki katika uzinduzi wa taasisi hiyo Reuben Ndege, amesema vyombo vya habari vimejitolea kushirikiana na taasisi hiyo kama moja ya njia ya kuenzi mchango wa Ruge katika tasnia ya habari na burudani.

Rwebu Mutahaba akiiwakilisha familia ya marehemu Ruge Mutahaba ameshukuru kwa ushirikiano mkubwa ambao wameendelea kuupata kutoka kwa wadau mbalimbali hasa katika kuyaendeleza maono aliyokuwa nayo Ruge.

Rwebu Mutahaba, mwakilishi wa familia ya marehemu Ruge Mutahaba

Ni miaka mitatu tangu Ruge Mutahaba alipofariki na taasisi hiyo katika kumuenzi itajikita katika ubunifu, uvumbuzi, umahili, upambanaji na uzalendo kwa vijana na matangazo ya uzinduzi wa taasisi hiyo yatarushwa katika vyombo mbalimbali ikiwa ni pamoja na East Africa TV.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto