Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

TAKUKURU yamnasa Askari wa JWTZ

Jumanne , 22nd Oct , 2019

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), mkoani Kagera, inawashikilia watumishi wanne, akiwamo askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ),kwa tuhuma za kuomba na kupokea rushwa.

Watu wengine wanaoshikiliwa na Taasisi hiyo ni Askari Polisi na Afisa wa
Idara ya Misitu, wote kutoka wilayani Biharamulo.

Akizungumza na waandishi wa habari Mkuu wa TAKUKURU mkoani Kagera, John
Joseph, amesema askari huyo wa Jeshi la wananchi alipokea Shilingi 800,000 kati
ya shilingi milioni 3, alizoomba kutoka kwa mfugaji mmoja, aliyekamata
ng’ombe wake akimtuhumu kuwaingiza katika pori la hifadhi ya Biharamulo.

Aidha Mkuu huyo wa TAKUKURU, amesema kuwa wanamshikilia afisa afya wa Kijiji
cha Nyakanazi, kilichopo katika Wilaya ya Biharamulo, Audastus Norbert kwa
tuhuma za kupokea rushwa ya shilingi elfu 50, ikiwa ni sehemu ya kiasi cha
shilingi laki 2, alichoomba kutoka kwa muuza nyama, baada ya kubaini makosa
katika duka lake.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava